


Soko la samaki limekuwa kubwa ndani na nje ya nchi nao samaki wenye viwango kwa ziwa victoria wanazidi kupungua siku baada ya siku kutokana na uvuvi haramu ulioshamiri kwenye baadhi ya maeneo na kingo za mwambao wa ziwa Victoria.
Hivyo basi kupitia miradi kama hii kuna uhakika kwa wananchi kupata samaki wakubwa wenye viwango vinavyohitajika kwenye soko hasa la kimataifa.


No comments:
Post a Comment