Monday, January 2, 2012

UVUVI


Uvuvi
1. Kutoa elimu ya uvuvi kwa maeneo yote ya mwambao wa ziwaVictoria.
2. Kuanzisha mtandao wa wavuvi.
3. Kuanzisha vyama vya kuweka na kukopa vya wavuvi (SACCOS).
4. Kuendeleza bandari muhimu katika jimbo – Kiloleli, Mwamanyili, Kabita (Nyamikoma) na Kalemela (Lamadi, Kalemela).
5. Kuhamasisha na kuendeleza ufugaji wa samaki. (Ushauri utapatikana kwa Dr Yohana Budeba/TAFIRI).
6. Kuanzisha utaalamu wa kuongeza thamani ya mazao ya samaki ikiwemo kukausha na kufunga (packaging) kwa kusafirisha nje ya nchi mf. Congo, Burundi na Kenya.

No comments:

Post a Comment